Search This Blog

September 6, 2012

OFFICIAL DIAMOND CONCERT PICTURE @EPIC SHOW WASHINGTON DC - SEPT 1ST 2012

Hawa kina kaka walipendezaje jamani!!!!!!!!!!!Nawapendaje ??????? Loveness ivi wanaitwa kina nani tena hawa? hahahahahah LOL....okay umesema Aziz na Alawi sio......
Chezea mtoto wa kichaga na kimombasa.....much love kwenu watu wangu.....

Hata mrushe fataki hapa hapapanguki Lizy Lizy Lizy usimuue kaka yangu na hilo lishape......
Jenerali Papa Peter Ligate much respect my bro akiwa na CEO wa Columbus Wash.......
Mama wa kusababisha maraha ya @Diamond......

Mama wa kuwapa maraha group ya @Diamond.....

Mamodel na Diamond......


CEO wa CCM DMV na Diamond group......

DMK na crew ya @Dimond.......

Wazee wa usafi juuuuuuuuuu......
Lizy Lizy Lizy........Taratibu my wiiiiiiiiii ntakuchapa........
Sexy ladies of DC.......



Zay B akipata one or one na Diamond.......

My mjomba Fofo akipata ukodak moment.....



Kulifurikaje?

Walisasambuaje.......


Shake for me mamalao......

Unaona wanavyoyarudi........

My sissy/wifi/fellow blogger please tembelea blog yake @http://thefashionjail.blogspot.com

Presidaaaa wa DMK mwenye akipata ukodak na DJ....

Sister for life......
Nani kama mama jamani? mtu na mama yake wamependeza kweli


Mashemeji walikuwepo walipendezaje, wa kwanza king wa Miss Temeke na wapili King wa Salma......


My sissy leta fimbo tuchape...........tuondoe pressure, Hafsa mama wa pressure pressure zanini?????? bibie Hafsa.......akiyarudi na shemeji yake...

Bar area wanaharakati wa Diamond wakipata vinywaji baridi.....

Designer wetu wa kibongo nae alikuwepo na R........


Makamanda wa CCM

Chezea Datuuuuuuu CCM Hoyeeeeee.....


Marangu brother  kaka Kombe na mkewe wakiwakilisha na mashemeji zake....

Lovely couple.......

Nini presureeeeeeeeeeeee.......

Sexylicious.........


Queen of the year bibie Salma.....aka Leila Ally


Mastosteeeeee.....

Nenda kamwambieeeeeeeeee.........Wema mapenzi ntayaongeza......


Classy..........

Mtu na kaka yake....CCM juuu


Missieeeee Temeke na mashostee wake walinogaje????????

Tamara nae alikuwepo......

Hey Mr DJ nipigie Jini kisirani kaingia ndani ya penzi langu.........





Mzee Benja a real kada wa CCM akiyarudi baada ya kutoka kuwasabahi wana Chadema siku hiyo.....

Wachaga hoyeeeeeeee......

Hebu niacheni kabisa mie leo nacheza nyimbo zote.....





No comments:

Post a Comment

ABUSIVE LANGUAGE IS NOT ALLOWED TO THIS BLOG. THANK U FOR UR COOPERATION

Note: Only a member of this blog may post a comment.

YOU MAY ALSO LIKE THIS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...