Search This Blog

POLITICS

MAWAZIRI WALIONG'OLEWA WAMSUSA JK.

•  NGELEJA ACHOMOZA, WAPYA WAKUNJUKA

na Edson Kamukara
MAWAZIRI wapya na manaibu wao, jana waliapishwa na Rais Jakaya Kikwete, huku wale waliong’olewa katika baraza hilo wakisusia sherehe hizo, isipokuwa William Ngeleje, aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini.
Ngeleja aliyeonekana mwenye furaha, alisema hana kinyongo na mtu baada ya kuondolewa katika uwaziri, akitamba kuwa miaka mitano aliyokaa si mchezo na hivyo atakuwa mwepesi kutoa ushauri kwa waziri mpya aliyeingia.
“Tumefanya kazi kubwa sana tena sisi tulikuwa wawili tu lakini sasa wamekuwa watatu, hivyo mimi nafurahi kuwa hizi ni mbio za kupokezana vijiti, ngoja na wenzetu wasogeze gurudumu japo,” alisema.
Waliong’oka na kushindwa kufika Ikulu jana ni Ezekiel Maige (Maliasili na Utalii), Mustafa Mkulo (Fedha), Omar Nundu na naibu wake Athuman Mfutakamba (Uchukuzi), Dk. Cyril Chami (Viwanda na Biashara), Dk. Haji Mponda na Dk. Lucy Nkya (Afya).
Hata hivyo, tofauti na sherehe hizo zinavyokuwa miaka yote, jana hali ilikuwa tofauti kwa ndugu, jamaa na marafiki wa mawaziri hao kwani shamrashamra za kuwapongeza zilitiwa nyongo baada ya Ikulu kuwazuia wasiingie na mashada wala maua.
Mawaziri waliokula kiapo ni 15 na manaibu 16, ambao ni Dk. Harrison Mwakyembe (Uchukuzi), Dk. Fenella Mukangara (Habari na Utamaduni), Dk. William Mgimwa (Fedha), Shamsi Vuai Nahodha (Ulinzi), Dk. Hussein Mwinyi (Afya), Prof. Jumanne Maghembe (Maji) na Hawa Ghasia (Tamisemi).
Wamo pia Mathias Chikawe (Katiba na Sheria), George Mkuchika (Utawala Bora), Celina Kombani (Utumishi), Wamo pia Dk. Emmanuel Nchimbi (Mambo ya Ndani), Christopher Chiza (Kilimo), Balozi Khamis Kagasheki (Maliasili), Dk. Abdalah Kigoda (Viwanda) na Prof. Sospeter Muhongo wa Nishati na Madini.
Hata hivyo, waziri asiyekuwa na kazi maalum katika Ofisi ya Rais, Prof. Mark Mwandosya, hakuapishwa na wala hakuna taarifa yoyote iliyotolewa kuhusu afya yake kwani amekuwa mgonjwa muda mrefu.
Kwa upande wa manaibu waziri walioapishwa ni Adam Malima (Kilimo), Lazaro Nyalandu (Maliasili), Gregory Teu (Viwanda), Pereira Silima (Mambo ya Ndani), Charles Kitwanga (Makamu wa Rais), Gerson Lwenge (Ujenzi), Seif Seleman Rashid (Afya) na Binirithi Mahenge (Maji).
Wengine ni George Simbachawene Na Stepehen Maslle (Nishati na Madini), January Makamba (Sayansi na Teknolojia), Charles Tizeba (Uchukuzi), Amos Makalla (Habari na Utamaduni), Anjela Kairuki (Katiba), Janeth Mbene na Saada Salum Mkuya (Fedha).
Mgimwa alia na mfumuko wa bei
Waziri mpya wa Fedha, Mgimwa, ameahidi kuanza kazi mara moja kwa kushughulikia mfumko wa bei za bidhaa ili kuleta ahueni kwa wananchi wanaokabiliwa na ugumu wa maisha.
“Kwa sasa hali ni mbaya, tunataka watu waone thamni ya fedha yao. Hivyo utofauti wetu utakuwa katika kujituma zaidi, kuwajibika na kushirikiana,” alisema.
Alifafanua kuwa kazi kubwa aliyonayo ni kuiboresha wizara ya fedha na kuimarisha utendaji ili uchumi ukue kulingana na hali halisi ya maisha ya wananchi.
Mwakyembe: Tutatanguliza uwazi
Waziri wa Uchukuzi, Dk. Mwakyembe, alisema wizara yake ina changamoto nyingi, hivyo wanahitaji kupewa muda wajipange.
“Sisi sera yetu kubwa itakuwa uwazi mbele. Hapa mjue kila kitu ni kipaumbele katika wizara hii, nchi ina shirika halina ndege inayoruka, reli iko hoi wakati ni mkombozi wa wengi na bandari vile vile tunapaswa kuzipanua,” alisema.
Dk. Mwakyembe alisema zaidi ya asilimia 40 ya malori ya mizigo yanaharibu barabara, hivyo lazima uangaliwe uwezekano wa kuiboresha reli haraka ili mizigo yote ipitie huko.
Muhongo ataka mg 500 za haraka
Yeye Waziri wa Nishati na Madini, Prof. Muhongo, alisema ili kukabiliana na hali mbaya ya umeme iliyoko nchini kwa sasa, watahakikishwa kwanza zinapatikana megawati 500 za haraka.
Alisema kuwa kama mtaalam wa jiologia mwenye uzoefu, atahakikisha wanakuwa na mipango ya muda mfupi na mrefu ili kutumia vyanzo vilivyopo kuzalisha megewati 3000 kwa ajili ya matumizi na kuuza nje.
“Tulipaswa kuwa na megewati 1500 mpaka sasa. Hivyo kazi yetu kubwa itakuwa ni kuhakikisha tunaongeza idadi ya watu wanaopata umeme inafikia asilimia 75, wenzetu Mauritius wameweza kwa asilimia 95 na Afrika Kusini (75) kwa nini tusiweze?” alihoji.
Kuhusu madini, Waziri Muhongo alifafanua kuwa amefanya kazi sekta hiyo toka mwaka 1990 hivyo anaelewa kuwa hitaji kubwa la wachimbaji wadogo ni mitaji, zana za kisasa na masoko, hivyo kuahidi kuwa atalishughulikia sambamba na kutazama upya mikataba ya wachimbaji wakubwa.
Kagasheki kuwabana wezi wa wanyama
Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Kagasheki, na naibu wake Nyalandu, walisema kuwa wizara hiyo ina changamoto lukuki kwani hata wenzake wote waliopita hawakutoka salama, hivyo wakaapa kufa na mafisadi wanaopora nyara za taifa kama wanyama, meno na pembe za ndovu.
“Huku wako watu wanakula kama mchwa, hivi inaingia akilini mtu anapakia tembo na ukubwa wote na kuondoka naye halafu asikamatwe? Nina pa kuanzia hasa kwenye ripoti za kamati na ile ya CAG,” alisema.
Kwa upande wake, Waziri wa Afya, Dk. Mwinyi, aliahidi kuanza kushughulikia mgogoro wa madaktari kwa kukutana na kamati yao ili kuona ni madai yapi serikali inaweza kuyatekeleza. Pia aligusia kuongeza kasi ya usambazaji dawa.
Zitto awapa somo mawaziri
Mbunge wa Kigoma Kaskazini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mashirika ya Umma (POAC), Kabwe Zitto, alisema uteuzi wa mawaziri hao umetokana na kazi kubwa ya Bunge.
Alisema kuwa sasa mawaziri wapya watakuwa na hofu ya meno ya Bunge na hivyo wanapaswa kuchapa kazi vinginevyo yatawakuta kama wenzao.
“Kwa sasa tuwape muda wafanye kazi maana wana jukumu kubwa mbele yao ya kuelekea kwenye bajeti, hali ya umeme huenda ikawa mbaya zaidi maana mabwawa yamepungukiwa na maji, hivyo ngoja washughulike,” alisema.
Zitto aliongeza kuwa wale mawaziri waliotajwa moja kwa moja na ripoti kama Mkulo na wengine pamoja na watendaji, wachunguzwe haraka na kufikishwa mahakamani mara moja kujibu mashtaka.

GINGRICH: says his policies could lower gas prices

TULSA,Okla. (AP) — Republican presidential candidate Newt Gingrich dangled the prospect Monday of gas as low as $2 a gallon if he's elected.
The former House speaker has spoken in the past of gas dropping to $2.50 a gallon under a Gingrich administration. The prediction, coming as Gingrich campaigned in Oklahoma, contrasts sharply with rival Rick Santorum, who told an Ohio audience that big-city Americans should brace themselves for $5-a-gallon gas.
Both candidates are citing new sensitivity over rising pump prices to push for relaxed regulation on domestic oil production. Gingrich isn't the first candidate to claim he can bring relief; former GOP candidate Michele Bachmann made $2 gas a standard part of her pitch.
What the candidates don't say is that U.S. presidents have limited, if any, power to affect prices of a global commodity like oil because such costs depend largely on supply and demand. As the economy improves, demand could rise, putting extra pressure on prices.
Gingrich and Santorum have been highlighting oil exploration in North Dakota and slamming the Obama administration for delaying a Canada-to-Texas oil pipeline. Those projects are considered long-term steps and might not have much effect on short-term prices.
But Gingrich's comments resonate in a place like Oklahoma, where the oil and natural gas sector is vital to a bustling state economy.
"With Gingrich policies, what we know is we will dramatically expand our independence in the world market, dramatically expand our capacity to produce energy without regard to our foreign potential enemies and in the process prices will clearly be a lot lower," Gingrich said. "Now, I picked $2.50 as a stabilizing price for capital investment reasons. It could easily go down to $2."
According to AAA's daily fuel gauge, a gallon of regular gas was approaching $4 in some places and even topped it in California. The national average was $3.56 per gallon.
Gingrich boasted that gas cost as little as $1.13 per gallon when he led the House and that the national average was below $2 when Obama was inaugurated.
"Why do we have this assumption all of a sudden, 'oh gee, that's the distant past,'" Gingrich said. "He hasn't been president that long."
Santorum focused on fears of prices climbing to record highs while campaigning in Ohio.
The former Pennsylvania senator blamed Obama for failing to drill aggressively for more oil and gas in the U.S.
Santorum said the economy has begun to improve slightly but "all of a sudden we're going to be hit with the same force of wind that hit us in 2008, in the summer, that caused us to go into a recession, all because of the radical environmentalist policies of this president."
___
Associated Press writer Charles Babington contributed from Steubenville, Ohio.

Small donors power Obama’s $29.1 million January haul

 Barack Obama's campaign announced Friday morning that it made a $29.1 million fundraising haul in January for his reelection effort and related Democratic committees.
"Thanks to everyone who pitched in," the campaign said on its official @BarackObama Twitter feed, where it made the announcement.
The campaign also said that 98% of the donations were $250 or less.
A campaign aide said the funds would go to Obama for America, the  Democratic National Committee (DNC), the Obama Victory Fund (a joint venture of the campaign and the DNC), and the Swing State Victory Fund.
Put another way: The cash haul represents about $2.31 from each of the campaign's 12,559,238 Twitter followers.
The president's February figures are sure to be closely watched because they will reflect his fundraising after he reversed course and embraced so-called "Super-PACs," powered by vast donations from small groups of individual donors.
In the tweet immediately before the announcement, Obama cheered the apparent congressional deal on extending the payroll tax cut, saying the estimated $40 per pay period for the average worker was "real money that will make a real difference in people's lives."

Herman Cain Teaches Newt Gingrich How to Campaign


ATLANTA, Ga. - To help Republican presidential candidate Newt Gingrich pull off a needed win in Georgia, former candidate Herman Cain stepped onto Gingrich's campaign bus Saturday to ride along for all three campaign events of the day and introduce the candidate, whom he endorsed in January, at each stop.
Cain had an idea or two for his friend of 16 years, and Gingrich listened.
"113-4.2-4? might not be as catchy as "9-9-9," but Gingrich said Saturday at a campaign stop that after inspiration from Cain, he's going to be pitching his own numbers and comparing them to President Obama's.
"Something I frankly got from listening to Herman, if you take $1.13 gasoline and 4.2 percent unemployment and a balanced federal budget, you realize those things were all facts," Gingrich said. "That's a pretty nice contrast to Barack Obama."
Though Gingrich has touted low gas prices, the unemployment rate and a balanced budget from when he was speaker of the House in the 1990s on nearly every campaign stop since Iowa, Saturday he changed his "stump" speech to tell the audience he had several numbers he wanted them to remember.
But it seemed Gingrich had trouble remembering the complicated numbers himself, when at his third stop he recited the numbers again, but with a long pause between 113 and 4.2.
The pair did two press conferences together. At the first, Cain walked up and stood behind Gingrich.
"Come up here," Gingrich said to him. After Gingrich's invitation, Cain even chipped in to help his friend answer a question.
When Gingrich was asked why GOP candidates Rick Santorum and Mitt Romney didn't want to debate him in Georgia, Gingrich said, "You can go ask them. I have no idea why they won't come debate."
"Can I give an answer?" Cain asked. "I believe that his people knew that Speaker Gingrich was not going to have three weak debate performances. Now he didn't have a weak debate performance, an average debate performance for Newt Gingrich is still better than most people, and he they knew he was probably going to be on his A-game, so they would rather not take that one."
Cain also interjected his opinion when Gingrich was asked what cabinet position he might have for Cain.
"My ideal job with a Speaker Newt Gingrich as president of the United States is to be a senior adviser, not in charge of anything. That's what I would want to do in a Gingrich administration," Cain said.
Cain said he has a couple pieces of advice for Gingrich as he continues on the campaign trail. He told Gingrich that the next time he has a "smack down" with the media at a debate, that his point would be made even better if he would smile when he's done.
Cain said one thing he and Gingrich discussed on the bus was making Gingrich's message more specific.
"This is what people want to hear," Cain said. "This is why I was glad to hear him talk about the $2.50 a gallon gasoline. Specificity about national security, specificity about creating jobs, so specificity of message is one thing that we've talked about, you know, just today."
Cain was questioned if Gingrich had not been specific enough with his message so far.
"He has been moving in that direction, but we wanted to accelerate it," Cain said.
Gingrich said he put Cain on the phone with one of his advisers to teach him how to be "clear and simple."
"Let me say quite cheerfully I think Herman is a better salesman than I am. I think he has a much better sense of marketing than I do and we had a great - we had a lot of fun on our way over," Gingrich said.
Throughout the day when Cain was on the stump, he went into moments of being a candidate again, talking about "9-9-9," and even throwing out a few "aw-shucky-ducky!" yells to the crowd.
"I'm still working on him," he said. "When he comes out you could say, Newt, Newt, Newt, 9-9-9."
Toward the end of his speeches, Cain brought the message back around to Gingrich, telling the large, enthusiastic crowds: "Contrary to what the mainstream, lame-stream media says, he can actually pull it out."
Cain elevated Gingrich's enthusiasm, adding some new excitement the day-to-day campaigning a candidate can often become complacent with. The pair walked out of a stage door after an event at a high school, where an enthusiastic and cheering mob ran to both candidates. Cain embraced the supporters with his enthusiasm and big smile seen early on the trail at the start of his candidacy. Gingrich, the rarely physical campaigner, gave out hugs, too.

No comments:

Post a Comment

ABUSIVE LANGUAGE IS NOT ALLOWED TO THIS BLOG. THANK U FOR UR COOPERATION

Note: Only a member of this blog may post a comment.

YOU MAY ALSO LIKE THIS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...