Search This Blog

April 27, 2012

YALIYOCHUKUA NAFASI WIKII MAGAZETINI....PATA NAKALA YAKO.






Currently Trending: Celeb Fashionistas Are Staying On Point With Christian Louboutin’s ‘Un Bout’ Pump

The classic pointy-toe pump is making an appearance this spring/summer and recently some of Hollywood’s most fashionable celebs have been spotted rocking the trend. And from what it looks like Christian Louboutin Un Bout pumps are a popular preference. BeyoncéKim Kardashian and Rihanna are just a few label lovers we picked up strutting around in the hot shoe. Peep how each celeb rocked the killer shoe in the gallery below. 
Christian Louboutin Un Bout Pump In Hot Pink 





SOURCE: FASHION OBSESSION.

First Video: President Obama SINGS Al Green Let's Stay Together

LOVE ADVICE FROM KIMNYE: DATE AS MANY AS U CAN... UNTIL U FIND THAT TRUE LOVE.... KANYE WEST U BETTER BE NICE TO ME!!! BEFORE I ADD ANOTHER # IN MY LOVE CHAPTER.


#1

#2

#3

#4

#5

#6

#7

#8
#9

#10


April 26, 2012

Watanzania watakufa wakiujadili Muungano?......Tanzania Daima.

KATIBA ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, pamoja na upungufu wake inatoa uhuru wa mawazo kwa kila mtu, katika ibara ya 18(a).
Hivyo pasi ajizi kutoka kwenye sakafu ya mtima wangu, napenda kutumia ibara hiyo kueleza fikra zangu juu ya Tume ya Katiba iliyoteuliwa na Rais Jakaya Kikwete.
Kitabu kitakatifu cha Biblia kinatanabaisha kwamba: “Bwana Mungu akamtoa huyo mtu, akamweka katika bustani ya Eden, ailime na kuitunza, Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu akisema, matunda ya kila mti wa bustani waweza kula walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika.”
Hapa Mungu anampa Adam maelekezo na masharti yote ili asile tunda la mti wa katikati, kwani akila anaweza kufa.
Kwa upande wa Tanzania hii yenye neema badala ya kutoa maziwa na asali, inatoa ndimu na pilipili kwa watu wake.
Imeteuliwa tume iwanyamazishe Watanzania wote watakaozungumzia Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Ni kwanini rais anazuia? Je, Muungano ni eneo la mema na mabaya kama ilivyo mti wa elimu ya mema na mabaya kule Eden, kwamba Watanzania wakihoji watakufa?
Je, rais wetu anajua kuwa anawazuia waliomchagua 2010 pia? Kwa wale wasiofahamu, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulifanyika siku ya Jumapili, Aprili 26 1964. Wakati huo Kikwete alikuwa na miaka 14 tu.
Rais anaweza asihoji Muungano kwa sababu alikuwapo. Je, waliozaliwa Aprili 27, 1964 hawana haki ya kuhoji Muungano?
Nadhani wanayo haki ya kuhoji kuhusu Muungano ili waufahamu ukoje, ulikuwaje na kadhalika.
Rais anatakiwa aache hofu, awaache Watanzania wajadili Muungano, waamue wanataka Muugano wa aina gani na si awaamulie aina ya Muungano wanaohitaji.
Labda rais atueleze Watanzania tutakufa kama tukiujadili Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Ukizingatia Mungu alimwambia Adam akila tunda la mti wa katikati ya bustani wenye ujuzi wa mema na mabaya atakufa.
Watanzania wasipokonywe haki yao ya kujadili mambo wanayoyahitaji, Rais wetu akumbuke kwamba, mtu anaweza kumbembeleza mtoto mdogo anayelia kwa kumnunulia pipi na akanyamaza, ila ni vigumu kumbembeleza mtu mzima anayelia kwa kunyang’anywa haki yake kwa kumnunulia pipi.
Atafakari na aachie uhuru wa kujadili masuala nyeti ya nchi hii, kwa nini rais aiagize Tume ya Katiba ikusanye maoni yote ila ya Muungano wa namna gani hapana?
Kwanini Watanzania wazuiwe kujadili mustakabali wa nchi yao? Kwa misingi hiyo hapakuwa na haja ya kuundwa kwa Tume ya Katiba inayoongozwa na gwiji, Joseph Sinde Warioba.
Taifa letu lina nusu karne tangu lilipopata Uhuru saa sita kamili usiku, siku ya Jumapili, Desemba 9, 1961 kutoka kwa Waingereza kufuatia jitihada za hayati Mwalimu Nyerere, hivyo tunahitaji katiba itakayodumu zaidi ya miaka 1,000.
Katiba itakayotungwa ikiacha mawanda mapana ya majadiliano, Watanzania watakuwa na umiliki na katiba hiyo. Kuna baadhi ya wanaamini Muungano wa Tanganyika na Zanzibar una matatizo na si changamoto.
Hivyo ni wakati mwafaka kwa, wananchi wa pande zote za muungano wajadili kwa uhuru, watoe mawazo yao ili mradi yasiwe matusi.
Rais akumbuke kuwa kuchunguza tatizo kunaweza kufananishwa na kipindi cha miezi ya ujauzito, na kulitatua tatizo ni sawa na siku ya kuzaliwa mtoto huyo, kwa hakika maana halisi ya kulichunguza tatizo ni kulitatua.
Hivyo rais awaache wananchi wa pande zote mbili watafute mwarobaini wa tatizo pasi kuwafunga midomo yao.
Tukiangalia picha iliyopigwa Aprili 26, 1964 wakati wa kuundwa kwa muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Nyerere anaonekana ameshika vibuyu viwili vyenye udongo akichanganya udongo wa Zanzibar na Tanganyika ila Rais Abeid Aman Karume yupo pembeni kidogo akiwa anashangaa!
Maswali! ni kwa nini Mwalimu hakushika kibuyu kimoja chenye udongo wa Tanganyika na mzee Abeid akashika kibuyu chenye udongo wa Zanzibar halafu wakuu hao wakachanganya kwa pamoja?
Hapa kuna ujumbe mzito mithili ya msitu wa Amazon, na usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Tuyaache hayo kwani ni mazito! Ila tunatakiwa tufikirie nje ya maboksi ili tutanabaishe maktaba ya mwonekano huo wa picha.
Kwa weledi wangu, Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ni muhimu sana kwa mustakabali wa taifa letu kisiasa, kiuchumi, na kijamii.
Nasisitiza na kushadadia kuwa, kwa yeyote anayepinga Muungano ni sawa na mtu anayepinga Muungano wa baba yake na mama yake ambapo yeye ni zao la Muungano huo, kwa tasfiri pana maana yake anajipinga mwenyewe hata baba na mama wakitengana huwezi kurudi tena tumboni kwa mama yako, au kurudi kwenye mfumo wa uzazi wa baba yako, utabaki kuwa zao la muungano wa baba na mama.
Hivyo Watanzania kwa pamoja tuujadili Muungano kwa pamoja, tukubaliane kwa pamoja. Kwani yatupasa tupingane pasi kupigana, tukosoane pasi kukoseana, tuwajibishane pasi kuaibishana wakati tunatoa maoni yetu juu ya katiba tuitakayo.
Inafahamika wazi kuwa Watanzania wa leo wana ufahamu tambuzi, wana weledi akinifu juu ya masuala nyeti ya nchi hii.
Mathalani, Tanganyika ilipata Uhuru Desemba 9 1961, ikaungana na Zanzibar mnamo siku ya Jumapili mchana Aprili 26, 1964 na kupata Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ila tunasherehekea kila mwaka sikukuu ya kuzaliwa Tanganyika na cha ajabu mwaka 2011 zaidi ya sh bilioni 60 za Kitanzania ziliteketezwa kwa ajili ya sherehe za Uhuru wa Tanganyika.
Kwa maneno mengine bado Tanganyika ipo, kama ilikuwa haipo, tusinge sherehekea Desemba 9, kila mwaka bali Aprili 26, kila mwaka. Sina maana kuwa nina mawazo ya kuvunja Muungano, kuibua hii hoja kuna maanisha bado mambo hayapo sawa, lazima wananchi wa pande zote mbili wajadili kuhusiana na Muungano. Tujue tunataka muungano wa namna gani.
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibara ya 18(a) imeshavunjwa kwa wananchi kunyimwa haki wasijadili kuhusu suala nyeti la Muungano wa namna gani unatakiwa.
Cha ajabu katiba hiyohiyo ibara ya 46(1) (2) inamruhusu rais aendelee kuvunja katiba kwani hakuna yeyote anayeweza kumfungulia mashitaka wakati akiwa pale Ocean Road (Ikulu).
Rais wetu aliyechaguliwa na Watanzania takriban milioni tano kati ya milioni 20 waliojiandikisha kupiga kura mwaka 2010, tunamwomba awape uhuru Watanzania wote pamoja na wale wenye miaka 14, hata wenye miaka mitano ilimradi wawe wanajua kuongea ili waweze kujadili kinagaubaga kuhusu suala la Muungano ili mwishowe mawazo yetu sote yawe yanaelea katika dimbwi moja la mwafaka wa kitaifa.
Watanzania wasipewe masharti kama Mungu alivyompa Adam kuhusu tunda la mti wa katikati kwamba angekula angejua mema na mabaya.
Hivyo tuachiwe tule tunda la Muungano ili tujue mema na mabaya yake kwa ajili ya mustakabali wetu, wajukuu, vitukuu, vining’ina, vilembwe na vilembwekeze vyetu.
Tukiona mabaya baada ya kujadili tunda letu la muungano tutatue, tukiona mazuri tuyaendeleze kwa utashi mwema.
Binadamu wote si sawa, na si wakamilifu, mimi ni binadamu, kwa hiyo mimi si sawa na mkamilifu, kama nimekosea katika makala hii tusamehane, turekibishane ili tuijenge Tanzania tunayoiota, ili miaka 50 ijayo tuikopeshe Marekani.
Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Afrika Mashariki, Mungu ibariki Tanzania yetu.



0784- 423458/ 0712830357 jejulius@gmail.com

Dk. Mengi Kukabidhiwa Tuzo Za Kihistoria Na UN

MWENYEKITI Mtendaji wa makampuni ya IPP, Dk. Reginald Mengi, anatarajiwa kutunukiwa tuzo mbili za kimataifa.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Kimataifa ya Global 2000(2010), Dk. William Morris, alizitaja tuzo hizo kuwa ni pamoja na ile ya kimataifa ya Uongozi na Ubinadamu na Tuzo ya kimataifa ya mafanikio katika maisha, na zinatarajiwa kukabidhiwa kwa Dk. Mengi katika halfa itakayofanyika Aprili 28 katika ukumbi wa Hoteli ya Serena.
“Dk. Mengi ni Mwafrika wa kwanza kushinda tuzo hiyo ya Umoja wa Mataifa, ambayo hutolewa kwa watu waliojitolea maisha yao kuleta maendeleo, kusaidia vikundi na watu mbalimbali, amefanya mambo mengi ya kustaajabisha,” alisema Dk. Morris.
Mengi amefanikiwa kushinda kutokana na kujitoa katika masuala hayo pamoja na kufanikisha harakati za kupambana na vita dhidi ya umaskini, ufisadi, elimu, magonjwa, njaa na mambo mengine mengi.
Tuzo hiyo hutolewa mara moja kwa mwaka na Baraza la Umoja wa Mataifa na wameitoa kwa Dk. Mengi baada ya kuibuka kinara miongoni mwa majina 10,000 yaliyopendekezwa ambapo majina matatu ya mwisho, hupigiwa kura na Baraza la Umoja wa Mataifa kupitia mashirika na taasisi za umoja huo.
Alisema jina la Dk. Mengi lilipendekezwa tangu mwaka 2008, 2009, lakini hakuchaguliwa.
“Mwaka 2010 jina lake liliingizwa tena, tukaanza kufuatilia shughuli zake na mambo aliyofanya kwenye jamii, hakutukuamini, tumekusanya mikanda ya video yote ya shughuli alizofanya, hakika tumeshangazwa na mtu wa aina yake na safari hii alipigiwa kura ya ushindi wa asalimia 80,” alisema Dk. Morris.
Tuzo hiyo ilizinduliwa mwaka 2007 na mashirika yasiyo ya kiserikali ya kimataifa na kusajiliwa rasmi katika Idara ya Mawasiliano ya Umma (DPI-NGO) na Baraza la Uchumi na Jamii ya Umoja wa Mataifa.
SOURCE: TANZANIA DAIMA

QUEEN OF THE MONTH: SEXY N ELEGANT FLAVIANA LAVVY MATATA



SOURCE: MARIA SARUNGI.

The Best Male Celebrity Beach Bodies (Biceps & Triceps & Abs, Good Gawd!)

A lot of stress is placed on us ladies to get things tight and right before putting on that two-piece for summer.  We obsess over love handles, cellulite, and lifting things that have started to drop. So we absolutely appreciate when a man makes the same effort to get his physique in check.  Defined arms, straight sculpted abs, and a great pair of glutes do a beach body good! Of the ones spotted in recent years, these next celebs are among our favorite beach bodies to gawk at. 




Source....TG

Tanzanite Glamours, whose beach body really made you swoon?

(Do We Love Her Pretty Pink Evening Wear?)Rebellious Rihanna Made The TIME’s Most Influential List

It’s kind of ironic that Rihanna would attend the Time’s Most Influential People reception dressed like a uber goody girl (sans the newly black shaved head) in a pretty in pink Marchesa gown and black Christian Louboutins when we ALL know she’s a total firecracker.
Rumored to have started a bit of an uproar when it was announced that she was being acknowledged for being a pop culture influence by  Time Magazine, the original rebel fleur, didn’t let that stop her. She enjoyed the night in her girly girl attire and perfectly positioned hair. Rihanna chose darker make up for a more grunge beauty moment to play down her whimsical dress choice. But the Question is Tanzanite Glamour's, are we feeling it? 


SOURCE: FASHION OBSESSION 

April 24, 2012

LOOK OF THE DAY: LULU AKIINGIA MAHAKAMANI MUNGU MJALIE.....NAONA WABONGO WASHAMUWEKA KANUMBA AMLINDE.


Rihanna - "Making of Talk That Talk" (Album) video DVD Part 2

Making Of Rihanna - Road To 'Talk That Talk' (Part 1)

LOOK OF THE DAY: Sizzling Summer Nail Art Trends To Try Out

Tanzanite'G, which nail trend will you be rocking this summer?



NEW MOST STYLISH COUPLE.....KIMYE

Kim Kardashian and Kanye West, or Kimye as they’re affectionately being called now, are continuing to step out and put their love on front street. The happy couple walked the streets of New York and naturally, the stylish duo enjoyed some retail therapy by hitting up Balenciaga.
We’re loving Kim’s J leather pants, relaxed sweatshirt, pointy toe Louboutins and a Celine bag.  And of course, ‘Ye doesn’t look half bad with his fitted jeans and fly pair of Jordans either.  These two genuinely seem happy together and compliment each other’s style well. 

YOU MAY ALSO LIKE THIS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...