Search This Blog

April 2, 2013

DONT EVER FIGHT A BATTLE WITH SMALL MINDED PEOPLE........SOME OF SMALL MINDED PEOPLE WON BY TELLING ME BAD THINGS ABOUT ONE I CARED ABOUT BUT NOW MY EYES ARE OPEN......MAY GOD BLESS U MY DEAR MNAJIJUA SITATAJA MAJINA BUT MUNGU AWE NANYI.



Dada yangu mpendwa kanitumia hii link nisikilize, jamani kuna binadamu ambao walinijia kwa sura za malaika kumbe ni nyoka wakubwa, sasa nimewaelewa. Huyu mungu hajalala naatajibu watu kama hawa kwa yale wanayowatakia wenzao. Jamani kitendo cha mtu kujifanya mimi kutukana watu kwasababu star kagombana na flani ngoja nichukue wakati huu kuutumia iliionekane ni star.....MSHINDWE NA MLEGEE!!!!!!!! NAWASHAURI MUMRUDIE MUNGU NA MUACHE KUFANYA MLIYOYAFANYA.....MIE MUNGU ASHANIOKOA.....NILIFUNGA SIKU KUMI NIKISALI SASA NIMEPATA MAJIBU YA SALA ZANGU.....SIKU NJEMA WAPENDWA..... 

No comments:

Post a Comment

ABUSIVE LANGUAGE IS NOT ALLOWED TO THIS BLOG. THANK U FOR UR COOPERATION

Note: Only a member of this blog may post a comment.

YOU MAY ALSO LIKE THIS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...