Search This Blog

August 2, 2013

BAADA YA SIKU NDEFU NILIJIPATIA PEDICURE NA MANICURE.........




KISHUNA WA KICHAGA MIE NIKIWA NSHAPATA PEDICURE N MANICURE......SO MUCH INLOVE WITH MY GIUSEPPE ZANOTTI FLATS #TEAMNOFAKEZONE!!!!!!!!

MWANAMKE UREMBO......NLIKUWA NIMECHOKAJE!!!
MGUU WA KICHAGA MGUU LAINI/NYORORO UKISAFIRWA......


MKURUGENZI WA SWAHILI TV ALEX KASSUWI AKA ALEX KING AIFIKISHA SWAHILI TV HOLLYWOOD KWA KISHINDO.



Alex Kassuwi aka KING akienda kwenye moja ya mikutano ya kusaini deals, Hollywood blvd, California
 Mpiganaji The CEO Davis Mosha akiwa katika mazungumzo na Mwanzilishi na Boss wa Immigrant magazine Bwana Charles Anchang katika hotel namba moja L.A. JW Marriot
 Crew mpya wa Swahili TV Bwana J akiwa na mkurugenzi Bwana Alex kassuwi (King)
  Alex K. King  akiwa na mkurugenzi wa Immigrant magazine Bwana Charles Anchang katika hotel namba moja L.A. JW Marriot.
 Furaha baada ya Mkutano kati ya maboss wawili Alex na Charles
PICHA ZOTE NA SWAHILI TV www.swahilitv.blogspot.co

KWA SHOPPING ZA SIKUKUU YA EID TEMBELEA ZURII FASHION


HABARI NZURI KWA WALE WATEJA WETU VIBONGE aka PLUS SIZE NI KWAMBA MZIGO UMESHAFIKA DUKANI. 
KWA WALE KAKA ZETU MNAO TAKA RABA ZA MTOKO ORIGINAL CONVERSE, TOMS NA VANS PIA ZINAPATIKANA. 
WALE WA SIZE NDOGO PIA KUNA NGUO NZURI SANA ZINAPATIKANA.
WAZAZI WAPENDEZESHE PIA WATOTO WAKO NA ZuRii KIDS COLLECTION.
KARIBUNI MJIPATIE VITU VYA SIKUKUU, MAKAZINI, MITOKO NA KANISANI. 
NGUO NZURI, QUALITY NZURI NA BEI NAFUU. 
LOOK GOOD, FEEL GOOD WITH ZuRii FASHION & BEAUTY BOUTIQUE. 
TUNAPATIKANA SIZA LEGHO, NYUMA YA ROMBO GREEN VIEW HOTEL (KUNA KIBAO BARABARNAI PIA). TUPIGIE +255659189769 or WHATSAPP +447404332910 (BUSINESS ONLY). 
NGUO ZA PLUS SIZE ZINAZOPATIKANA NI SIZE 14-20 (UK).  NA SIZE NDOGO NI 8-14 (UK).
KARIBUNI SANA.



July 31, 2013

JIMMIE MAGGETTE MILIONEA NA MFANYABIASHARA MAARUFU AMWALIKA MPIGANAJI WETU DAVIS MOSHA KATIKA KUSHEREHEKEA BIRTHDAY YAKE HOLLYWOOD, L.A


Davis Mosha "The CEO", Deo Temba "Mayor wa LA" na milionea Jimmie Maggette wakiwa katika Supper Club Hollywood jana usiku kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa tajiri Jimmie ambaye ni mdogo wa mcheza basketball maarufu na tajiri Corey Maggette. MC wa party alikuwa mwanamuziki maarufu J Cole. Wamarekani weusi wanajisikia proud sana wanapokutana na successful people kutoka Afrika.

The CEO Davis Mosha, D. Temba, Jimmie Maggettte na Alex King

 Deo Temba "Mayor wa L.A." katikati ni Mlinzi (BodyGuard) wa Davis Mosha " The CEO"

Baada ya The CEO Davis Mosha kukubali mwaliko wa Jimmie Maggette alitumiwa mlinzi maalum (Body Guard) wa kumlinda, maana sehemu hiyo hawaendi watu wa kawaida, lazima uwe na mlinzi. Hapa Boss Mosha akiteta jambo na Body Guard wake.

   Mayor wa L.A. Deo Temba akikaribishwa kwenye gari na Boss Mosha

Ricardo Emmanuel Brown Rapper maarufu na aliyewahi kuwa Excutive Vice President wa Death Row records, jina la kisanii  Kurupt aka Kurupt tha Kingpin, aka Kurupt young Gotti au Young Gostra, ni member wa kundi kali la hip-hop la Tha Dogg Pound na HRSMN akiwa na The CEO Davis Mosha katika birthday party ya Jimmie Maggette Super Club, Hollywood Los Angeles.



  Deo Temba "L.A Mayor," Davis Mosha" The CEO" na Comedian Maarufu Funny Man Red Grant

Alex King na tajiri na mmiliki wa Kiota maarufu cha R n B LIVe Hollywood. L.A.

 Bathroom ina kila aina ya perfumes, zote expensive ukiingia lazima utoke na unyunyu mpya na pipi za bei ghali.

 Alex king akiwa na Bodyguard wa Davis Mosha Super club L.A.
PICHA ZOTE NA SWAHILI TV 

July 30, 2013

PEDEJEEE MY KAKA DAVIS MOSHA NDANI YA USA MTAPATA MATUKIO ZAIDI KWANI BADO ANASTATE KIBAO ZA KUTEMBELEA.



Upscale Spot ndani ya Houston

The boss Davis mosha akiwa na Gari yake aliyonunua Houston tx (maseratt) 

Mpiganaji maarufu Davis Mosha akiteta jambo na wadau wa Houston, kulia ni Grace Mmari
Juliet, Christa wakifurahia jambo
 Juliet na Christa wakichagua kitengo
Frank Mutafungwa (Mbabe wa zamani Masaki)  na Alex Kassuwi wakiangalia menu
 Wahudumu walikuwa busy sio mchezo kuhudumia wadau

 Christa akimsikiliza "The Boss" alipokuwa akielezea jambo

July 29, 2013

REST IN PEACE VIOLA...........

VIOLA TWO DAYS BEFORE HER DEATH,  PLEASE FELLAS REMEMBER TO WEAR A SEAT BELT.... VIOLA LOST HER LIFE ON A CAR ACCIDENT. SHE WAS NOT WEARING A SEAT BELT AND GET EJECTED OUT......MAY UR BEAUTIFUL SOUL REST IN PEACE.
VIOLA WHILE ON LIFE SUPPORT.......















YOU MAY ALSO LIKE THIS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...