August 2, 2013
MKURUGENZI WA SWAHILI TV ALEX KASSUWI AKA ALEX KING AIFIKISHA SWAHILI TV HOLLYWOOD KWA KISHINDO.
Alex Kassuwi aka KING akienda kwenye moja ya mikutano ya kusaini deals, Hollywood blvd, California
Mpiganaji The CEO Davis Mosha akiwa katika mazungumzo na Mwanzilishi na Boss wa Immigrant magazine Bwana Charles Anchang katika hotel namba moja L.A. JW Marriot
Crew mpya wa Swahili TV Bwana J akiwa na mkurugenzi Bwana Alex kassuwi (King)
Alex K. King akiwa na mkurugenzi wa Immigrant magazine Bwana Charles Anchang katika hotel namba moja L.A. JW Marriot.
Furaha baada ya Mkutano kati ya maboss wawili Alex na Charles
PICHA ZOTE NA SWAHILI TV
www.swahilitv.blogspot.co
KWA SHOPPING ZA SIKUKUU YA EID TEMBELEA ZURII FASHION
HABARI NZURI KWA WALE WATEJA WETU VIBONGE aka PLUS SIZE NI KWAMBA MZIGO UMESHAFIKA DUKANI.
KWA WALE KAKA ZETU MNAO TAKA RABA ZA MTOKO ORIGINAL CONVERSE, TOMS NA VANS PIA ZINAPATIKANA.
WALE WA SIZE NDOGO PIA KUNA NGUO NZURI SANA ZINAPATIKANA.
WAZAZI WAPENDEZESHE PIA WATOTO WAKO NA ZuRii KIDS COLLECTION.
KARIBUNI MJIPATIE VITU VYA SIKUKUU, MAKAZINI, MITOKO NA KANISANI.
NGUO NZURI, QUALITY NZURI NA BEI NAFUU.
LOOK GOOD, FEEL GOOD WITH ZuRii FASHION & BEAUTY BOUTIQUE.
TUNAPATIKANA SIZA LEGHO, NYUMA YA ROMBO GREEN VIEW HOTEL (KUNA KIBAO BARABARNAI PIA). TUPIGIE +255659189769 or WHATSAPP +447404332910 (BUSINESS ONLY).
NGUO ZA PLUS SIZE ZINAZOPATIKANA NI SIZE 14-20 (UK). NA SIZE NDOGO NI 8-14 (UK).
KARIBUNI SANA.
KWA WALE KAKA ZETU MNAO TAKA RABA ZA MTOKO ORIGINAL CONVERSE, TOMS NA VANS PIA ZINAPATIKANA.
WALE WA SIZE NDOGO PIA KUNA NGUO NZURI SANA ZINAPATIKANA.
WAZAZI WAPENDEZESHE PIA WATOTO WAKO NA ZuRii KIDS COLLECTION.
KARIBUNI MJIPATIE VITU VYA SIKUKUU, MAKAZINI, MITOKO NA KANISANI.
NGUO NZURI, QUALITY NZURI NA BEI NAFUU.
LOOK GOOD, FEEL GOOD WITH ZuRii FASHION & BEAUTY BOUTIQUE.
TUNAPATIKANA SIZA LEGHO, NYUMA YA ROMBO GREEN VIEW HOTEL (KUNA KIBAO BARABARNAI PIA). TUPIGIE +255659189769 or WHATSAPP +447404332910 (BUSINESS ONLY).
NGUO ZA PLUS SIZE ZINAZOPATIKANA NI SIZE 14-20 (UK). NA SIZE NDOGO NI 8-14 (UK).
KARIBUNI SANA.
July 31, 2013
JIMMIE MAGGETTE MILIONEA NA MFANYABIASHARA MAARUFU AMWALIKA MPIGANAJI WETU DAVIS MOSHA KATIKA KUSHEREHEKEA BIRTHDAY YAKE HOLLYWOOD, L.A
Davis Mosha "The CEO", Deo Temba "Mayor wa LA" na milionea Jimmie Maggette wakiwa katika Supper Club Hollywood jana usiku kusherehekea siku ya kuzaliwa kwa tajiri Jimmie ambaye ni mdogo wa mcheza basketball maarufu na tajiri Corey Maggette. MC wa party alikuwa mwanamuziki maarufu J Cole. Wamarekani weusi wanajisikia proud sana wanapokutana na successful people kutoka Afrika.
The CEO Davis Mosha, D. Temba, Jimmie Maggettte na Alex King
Deo Temba "Mayor wa L.A." katikati ni Mlinzi (BodyGuard) wa Davis Mosha " The CEO"
Baada ya The CEO Davis Mosha kukubali mwaliko wa Jimmie Maggette alitumiwa mlinzi maalum (Body Guard) wa kumlinda, maana sehemu hiyo hawaendi watu wa kawaida, lazima uwe na mlinzi. Hapa Boss Mosha akiteta jambo na Body Guard wake.
Mayor wa L.A. Deo Temba akikaribishwa kwenye gari na Boss Mosha
Ricardo Emmanuel Brown Rapper maarufu na aliyewahi kuwa Excutive Vice President wa Death Row records, jina la kisanii Kurupt aka Kurupt tha Kingpin, aka Kurupt young Gotti au Young Gostra, ni member wa kundi kali la hip-hop la Tha Dogg Pound na HRSMN akiwa na The CEO Davis Mosha katika birthday party ya Jimmie Maggette Super Club, Hollywood Los Angeles.
Deo Temba "L.A Mayor," Davis Mosha" The CEO" na Comedian Maarufu Funny Man Red Grant
Alex King na tajiri na mmiliki wa Kiota maarufu cha R n B LIVe Hollywood. L.A.
Bathroom ina kila aina ya perfumes, zote expensive ukiingia lazima utoke na unyunyu mpya na pipi za bei ghali.
Alex king akiwa na Bodyguard wa Davis Mosha Super club L.A.
PICHA ZOTE NA SWAHILI TV
PICHA ZOTE NA SWAHILI TV
July 30, 2013
PEDEJEEE MY KAKA DAVIS MOSHA NDANI YA USA MTAPATA MATUKIO ZAIDI KWANI BADO ANASTATE KIBAO ZA KUTEMBELEA.
Upscale Spot ndani ya Houston
The boss Davis mosha akiwa na Gari yake aliyonunua Houston tx (maseratt)
Mpiganaji maarufu Davis Mosha akiteta jambo na wadau wa Houston, kulia ni Grace Mmari
Juliet, Christa wakifurahia jambo
Juliet na Christa wakichagua kitengo
Frank Mutafungwa (Mbabe wa zamani Masaki) na Alex Kassuwi wakiangalia menu
Wahudumu walikuwa busy sio mchezo kuhudumia wadau
Christa akimsikiliza "The Boss" alipokuwa akielezea jambo
July 29, 2013
Subscribe to:
Posts (Atom)

























