Search This Blog

August 27, 2012

HATUWEZI ISHI BILA CCM KUBALINI KATAENI CCM NDICHO CHAMA PEKEE..........
















 







Wanachama wa CCM walifurika mpaka kukakosekana pa kukaa, jaamani kwa upande wangu nibora kujiunga katika chama tukufu na tuweze kushirikiana kutatua matatizo yaliyopo na kuweza kuendeleza maendeleo kwa wana jamii. Kwamliokosa mlikosa tukio la kihistoria kwakweli, jitahidini kuweza kuhudhuria uzinduzi mwingine ujao hivi karibuni, nitawapatia maelezo zaidi hivi karibuni.
 


No comments:

Post a Comment

ABUSIVE LANGUAGE IS NOT ALLOWED TO THIS BLOG. THANK U FOR UR COOPERATION

Note: Only a member of this blog may post a comment.

YOU MAY ALSO LIKE THIS

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...